Habari za Kitheokrasi
◆ Kilele kipya cha wahubiri 16,147 kilifikiwa katika Denmark wakati wa Aprili. Kulikuwako 3,414 wakishiriki utumishi wa painia msaidizi.
◆ Guatamala ilipita alama ya 11,000 katika wahubiri ikiwa na 11,031 walioripoti katika Aprili, ongezeko la asilimia 10 juu ya wastani wa mwaka uliopita.
◆ Thailand ilifikia kilele kipya cha wahubiri 1,057 katika Aprili. Mfululizo wa karibuni wa makusanyiko ya mzunguko yalihudhuriwa na 1,500 kukiwa na 25 waliobatizwa.