Habari za Kitheokrasi
◆ Ufaransa ilifikia kilele kipya cha wahubiri 105,307 wakati wa Novemba. Wahubiri wa kundi walifikia wastani wa saa 12.3 wakati wa mwezi.
◆ Madagaska ilikuwa na kilele kipya cha wahubiri 3,069 katika Oktoba kwa ongezeko la asilimia 10.
◆ Zimbabwe ilifurahi kuripoti katika Novemba kilele chao cha tatu katika wahubiri mwaka huu wa utumishi. Hili ni ongezeko la asilimia 12.1 zaidi ya mwezi ule ule mwaka mmoja uliopita.