Mikutano ya Utumishi wa Shambani
Februari 6-12
Kutoa toleo la kampeni
1. Dokeza matangulizi yanayofaa.
2. Utaelezaje habari kuu?
Februari 13-19
Kuweka msingi kwa ajili ya ziara za kurudia
1. Hili linaweza kufanywaje katika ziara ya kwanza?
2. Utaandika nini kwenye karatasi ya nyumba kwa nyumba?
3. Utazungumzia nini kwenye ziara ya kurudia?
Februari 20-26
Kutumia Kitabu Reasoning kurasa 227-32 (Ikiwa hakipatikani tumia picha 156-58 katika kitabu Kuishi Milele)
1. Ni baraka gani za Ufalme ambazo zinaweza kupendeza watu walio katika eneo lako?
2. Ni mambo gani yanayoweza kutumiwa kwa watoto?
3. Ni mambo gani yanayoweza kutumiwa kwa wazazi?
Februari 27-Machi 5
Kutoa kitabu Ufalme Wako Uje
1. Utaunganishaje Kichwa cha Mazungumzo cha sasa na toleo? (Rudia fu. 5 chini ya Kutangaza Habari Njema)
2. Ni habari gani kutoka katika kitabu unazoweza kukazia?