Mikutano ya Utumishi wa Shambani
FEBRUARI 5-11
Kutoa ushahidi kwa Biblia
1. Kwa nini Biblia itumiwe?
2. Unaweza kumtiaje moyo mwenye nyumba atumie Biblia yake?
3. Ni sehemu gani za Biblia unazotumia?
FEBRUARI 12-18
Kutoa ushahidi wa vivi hivi
1. Ni kwa nini utendaji huo ni wa maana?
2. Waweza kufanyiwa wapi?
3. Ni busara gani inayopasa kutumiwa?
FEBRUARI 19-25
Tunaweza kujibuje kwa busara wale wanaosema:
1. “Mimi nina shughuli”?
2. “Mimi sipendezwi”?
3. “Tuna dini yetu wenyewe”?
FEBRUARI 26–MACHI 4
Wazazi wanaweza kuwasaidiaje watoto wao
1. Wajitayarishe kwa ajili ya utendaji wa magazeti?
2. Washiriki wazo la Kimaandiko pamoja na mwenye nyumba?
3. Wadumishe mwenendo unaofaa katika utumishi wa shambani?