Mikutano ya Utumishi wa Shambani
FEBRUARI 1-7
Kutumia vichapo vya zamani
1. Jinsi gani wewe utaunganisha toleo na Kichwa cha Mazungumzo?
2. Kwa sababu gani vitabu vinapasa kupangwa vizuri katika mikoba yetu ya mahubiri?
3. Je! vitabu vilivyokunjana-kunjana vyapasa kutolewa?
FEBRUARI 8-14
Kutunza maandishi ya
nyumba kwa nyumba
1. Kwa sababu gani yapasa kutunzwa?
2. Yanaweza kutumiwa jinsi gani wakati wa kutoa ushuhuda wa kikundi?
3. Kwa sababu gani tutunze maandishi tofauti ya wasiopatikana nyumbani?
FEBRUARI 15-21
Kutumia Biblia
1. Wewe unatoaje utangulizi wa maandiko katika Kichwa cha Mazungumzo?
2. Jinsi gani unaweza kutumia andiko wakati mwenye nyumba ana shughuli?
3. Ni wakati gani hasa tunapoweza kutumia Biblia ya mfukoni?
FEBRUARI 22-28
Kutoa trakti mpya
1. Wewe utaonyesha ipi?
2. Jinsi gani unaweza kupanga ziara ya kurudia?