Mikutano ya Utumishi wa Shambani
Machi 6-12
Kitabu Revelation Climax au “Ufalme wako uje”
1. Kwa nini kila mwenye nyumba anahitaji nakala?
2. Ni utoaji gani mwingine ambao huenda ukafaa katika eneo lenu?
Machi 13-19
Kuwaalika wengine kwenye Ukumbusho
1. Kwa nini tuwatie moyo wengine wahudhurie?
2. Ni nani wanaopaswa kualikwa?
3. Vikaratasi vya mwaliko vilivyochapishwa vinaweza kutumiwaje?
Machi 20-26
Utatoaje
1. Kitabu Revelation Climax au “Ufalme wako uje” juma hili?
2. Msaada zaidi kwa wale watakaohudhuria Ukumbusho?
Machi 27-Aprili 2
Unapohubiri nyumba kwa nyumba
1. Ni nini kimekuwa chenye matokeo wakati wa kutoa kitabu?
2. Utatoaje uandikishaji?
3. Kwa nini tutunze maandishi mazuri ya nyumba kwa nyumba?