Mikutano ya Utumishi wa Shambani
MACHI 4-10
Kichwa cha Mazungumzo
1. Pitia maandiko yanayotumiwa
2. Utatoaje utangulizi kwa ajili ya kitabu Upeo wa Ufunuo?
MACHI 11-17
Kualika wengine kwenye Ukumbusho
1. Twapaswa kualika nani?
2. Vikaratasi vya mwaliko vilivyochapwa vyaweza kutumiwaje kwa mafanikio?
MACHI 18-24
Nyumba kwa nyumba
1. Kwa nini utenge angalau saa moja kila Jumapili kuhubiri nyumba kwa nyumba kabla ya kufanya ziara za kurudia na kuongoza mafunzo?
2. Kwa nini ni jambo la maana kumfikiria mtu unayeongea naye?
MACHI 25-31
Katika kuongoza mafunzo ya Biblia
1. Kwa nini umtie moyo mwanafunzi wa Biblia ahudhurie mikutano?
2. Kwa nini ukaribishe wahubiri wengine waambatane nawe nyakati nyingine?