Mikutano ya Utumishi wa Shambani
JULAI 4-10
Kichwa cha Mazungumzo
cha sasa
1. Utatangulizaje kichwa hicho?
2. Ni habari gani zinazoweza kuunganishwa nacho?
3. Utaingizaje toleo la kitabu?
JULAI 11-17
Kwa nini tunapaswa kuepuka
1. Kukusanyika-kusanyika katika eneo?
2. Kuwa wenye kelele tunapokuwa shambani?
3. Kugonga mlango kwa nguvu sana au kwa muda mrefu sana?
JULAI 18-24
Kutoa ushuhuda kama kikundi
1. Kwa nini tukutane mahali pa funzo la kitabu?
2. Ni mambo gani yenye kujenga tunayoweza kuzungumizia katikati ya ziara?
3. Ni jambo gani linaloweza kufanywa ili kusaidia wapya?
JULAI 25-31
Trakti
1. Pitieni kifupi vichwa vya trakti.
2. Kwa nini tuwe na chache nyakati zote?
3. Zinaweza kutumiwa lini na wapi?