Mikutano ya Utumishi wa Shambani
JUNI 4-10
Pitieni Kichwa cha Mazungumzo
1. Kwa nini ni cha wakati unaofaa?
2. Utatoaje utangulizi wa kila jambo kuu?
3. Unaweza kukifupizaje kwa ajili ya watu wenye shughuli?
JUNI 11-17
Zungumzeni matumizi yanayofaa ya matangulizi ya kitabu Kutoa Sababu
1. Ukurasa 10, “Har–Magedoni.”
2. Ukurasa 14, “Wakati Ujao/Usalama.”
3. Ukurasa 14, “Vita/Amani.”
JUNI 18-24
Wakati wa kutoa kitabu Kuokolewa
1. Utaonyesha nini?
2. Ni mifano gani utakayotumia?
JUNI 25–JULAI 1
Ni jinsi gani wewe
1. Utaweka msingi kwenye ziara ya kwanza kwa ajili ya ziara ya kurudia?
2. Utaamsha kupendezwa na funzo la Biblia la nyumbani?