Mikutano ya Utumishi wa Shambani
SEPTEMBA 4-10
Kutoa kitabu Creation
1. Fanyeni pitio la dokezo lililotolewa katika fungu 5 la makala ya kwanza ya Huduma ya Ufalme Yetu.
SEPTEMBA 11-17
Kufanyia kazi eneo la biashara
1. Kwa nini ufanye kazi na mhubiri mwenye ujuzi?
2. Fanyeni pitio la madokezo yanayotolewa kwenye mafungu 6 na 7 ya “Kutangaza Habari Njema.”
SEPTEMBA 18-24
Kichwa cha Mazungumzo
1. Ni mwelekezo gani wenye kusaidia ambao umetolewa kwenye ukurasa wa 3 wa Huduma ya Ufalme Yetu?
2. Tunaweza kutumiaje habari hii?
SEPTEMBA 25-OKTOBA 1
Kutoa Ushahidi kwa magazeti
1. Ni madokezo gani ambayo yametolewa katika makala ya pili ya Huduma ya Ufalme Yetu?
2. Fanyeni pitio la Kichwa cha Mazungumzo cha Oktoba pamoja na toleo.