Mikutano ya Utumishi wa Shambani
JUNI 3-9
Kichwa cha Mazungumzo
1. Pitia utangulizi na maandiko.
2. Utatoaje utangulizi wa toleo?
JUNI 10-16
Utatoaje Mankind’s Search for God kwa
1. Washiriki wa dini iliyo kubwa katika eneo lenu?
2. Waamini wa dini nyinginezo katika eneo lenu?
3. Watu wasiofuata dini unaowapata?
JUNI 17-23
Waweza kuanzaje mafunzo ya Biblia
1. Ukitumia njia ya moja kwa moja?
2. Mara tu ukiisha fanya angusho?
3. Unapofanya ziara ya kurudia?
JUNI 24-30
Katika utendaji wa magazeti
1. Utaonyesha makala ipi? Kwa nini?
2. Utafanyaje utoaji wa makala hiyo?