Mikutano ya Utumishi wa Shambani
JUNI 5-11
Picha zilizomo katika kitabu Amani ya Kweli
1. Unaweza kukazia mambo gani kwenye ukurasa 98?
2. Ungetumia ukurasa 171 kwa nani, na kwa nini?
JUNI 12-18
Unapozungumza na wachanga
1. Unakazia sura gani katika kitabu Amani ya Kweli? Kwa nini?
2. Kwa nini busara inahitajiwa?
JUNI 19-25
Unaweza kutumiaje maneno ya usadikisho
1. Katika utangulizi wako?
2. Unapozungumzia kurasa 78 na 79 katika kitabu Amani ya Kweli?
JUNI 26-JULAI 2
Kufanya ziara za kurudia
1. Utatumia sura gani katika kitabu Amani ya Kweli?
2. Ikiwa uliangusha magazeti, ungezungumza juu ya nini?