Mikutano ya Utumishi wa Shambani
SEPTEMBA 5-11
Unapotoa broshua
1. Ni mambo gani ya kuzungumzia utakazia
2. Ni vielezi gani vinavyoweza kutumiwa?
SEPTEMBA 12-18
Kurudia maangusho ya broshua
1. Utazungumzia nini?
2. Utajaribuje kugeuza ziara iwe funzo?
SEPTEMBA 19-25
Tunawezaje kuanza mafunzo?
1. Katika ziara ya kwanza?
2. Kwa msaada wa kitabu Reasoning?
SEPTEMBA 26-OKTOBA 2
Unapotoa magazeti
1. Utakazia makala gani?
2. Kwa nini utie moyo wenye nyumba
waandikishe?