Matangazo
● Toleo la fasihi kwa Oktoba: Andikisho la mwaka mmoja kwa Amkeni! au Mnara wa Mlinzi, au yote mawili. Novemba: New World Translation of the Holy Scriptures na broshua Jina. Desemba: Hadithi za Biblia, Kuishi Milele. Januari na Februari: Chochote cha vitabu vyenye kurasa 192 ambacho kundi linacho akibani, kilichotangazwa kwa kupigwa chapa kabla ya 1980, kwa nusu ya mchango wa kawaida.
● Kwa kuwa mwaka huu mkusanyiko utafanywa Ijumaa, Jumamosi, na Jumapili, Funzo la Kitabu la Kundi la kawaida litafanywa wakati wa juma la mkusanyiko.