Matangazo
◼ Toleo la fasihi kwa ajili ya Desemba: Yule Mtu Mkuu Zaidi Aliyepata Kuishi. Januari: Kitabu chochote chenye kurasa 192 kilichochapishwa kwenye karatasi inayobadilika rangi na kuwa manjano au inayochakaa au kitabu chochote kilichotangazwa kabla ya 1980 chaweza kutolewa kwa bei nusu ya ile ya kawaida. Kupunguziwa kwa mapainia ni nusu ya bei ya kawaida pia. Makutaniko ambayo hayana ugavi wa vitabu hivyo yaweza kutoa kitabu Jitihada ya Ainabinadamu ya Kutafuta Mungu. Februari: Unaweza Kuishi Milele Katika Paradiso Duniani. Machi: Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu! ANGALIA: Makutaniko yatakayohitaji vifaa vya kampeni vilivyotajwa juu yapaswa yaviagize kwenye Fomu yao itakayofuata ya Agizo la Vitabu (S-14-SW) ya kila mwezi.
◼ Mwangalizi msimamizi au mtu yeyote aliyewekwa naye apaswa kukagua hesabu ya kutaniko katika Desemba 1 au upesi iwezekanavyo baada ya hapo. Tangazieni kutaniko jambo hili lifanywapo.
◼ Vichapo Vipatikanavyo:
Kiswahili: Je! Ulimwengu Usio na Vita Utakuwako Wakati Wowote?