Habari Za Kitheokrasi
Estonia: Kulikuwa na wahubiri 1,753 wenye kuripoti utumishi katika Septemba. Hili lilikuwa ongezeko la asilimia 24 kupita wastani wa kila mwezi kwa mwaka uliopita.
Uturuki: “Ufundishaji wa Kimungu” Mkusanyiko wa Wilaya ulihudhuriwa na watu 1,510, na 44 wakaonyesha wakfu wao. Kulikuwa na ripoti nzuri katika televisheni ya mahali hapo juu ya mkusanyiko huo.