Matangazo
◼ Toleo la fasihi la Juni: Life—How Did It Get Here? By Evolution or by Creation? au Kuokolewa Kuingia Katika Dunia Mpya. Julai: Mchanganyiko wa vijitabu vitatu vyenye kurasa 32. Agosti: Yoyote ya broshua zifuatazo zenye kurasa 32 zaweza kutumiwa: Je! Kweli Mungu Anatujali?, Furahia Milele Maisha Duniani!, “Tazama! Mimi Ninafanya Vitu Vyote Kuwa Vipya,” Je! Uamini Utatu?, Jina la Mungu Litakaloendelea Milele, Serikali Itakayoleta Paradiso, na Ni Nini Lililo Kusudi la Uhai—Waweza Kulipataje? Septemba: Unaweza Kuishi Milele Katika Paradiso Duniani. TAARIFA: Makutaniko yote yatakayohitaji vifaa vya kampeni vilivyotajwa juu yapaswa yaviagize kwenye Agizo la Fasihi (S-14-SW) la kila mwezi litakalofuata.
◼ Kuanzia Agosti 29, 1994, kitabu Kufanya Maisha ya Jamaa Yako Yawe Yenye Furaha kitatumiwa katika Funzo la Kitabu la Kutaniko.
◼ Mwangalizi-msimamizi au mtu aliyegawiwa naye apaswa kukagua hesabu ya kutaniko mnamo Juni 1 au upesi baada ya hapo ikiwezekana. Tangazieni kutaniko jambo hili lifanywapo.