Matangazo
◼ Toleo la fasihi la Juni: Life—How Did It Get Here? By Evolution or by Creation? Katika Kiswahili toa kitabu Biblia—Neno la Mungu au la Binadamu? Julai na Agosti: Yoyote ya broshua zifuatazo zenye kurasa 32 yaweza kutumiwa: Furahia Milele Maisha Duniani!, Je! Kweli Mungu Anatujali?, Je! Uamini Utatu?, Jina la Mungu Litakaloendelea Milele, Mtu Fulani Umpendaye Anapokufa, Ni Nini Lililo Kusudi la Uhai?—Wewe Waweza Kulipataje?, Serikali Itakayoleta Paradiso, na “Tazama! Mimi Ninafanya Vitu Vyote Kuwa Vipya.” Septemba: Kitabu Kuishi Milele kitatumiwa, na jitihada zapasa kufanywa ili kuanzisha mafunzo ya Biblia nyumbani. TAARIFA: Makutaniko ambayo bado hayajaagiza vifaa vya kampeni vilivyotajwa juu yapaswa kufanya hivyo katika Agizo la Fasihi lao la kila mwezi litakalofuata (S-14-SW).
◼ Mwangalizi-msimamizi au mtu aliyegawiwa naye apaswa kukagua hesabu ya kutaniko mnamo Juni 1 au upesi baada ya hapo ikiwezekana. Tangazieni kutaniko jambo hili lifanywapo.