Habari za Kitheokrasi
Matokeo ya “Wasifaji Wenye Shangwe” Mkusanyiko wa Wilaya wa 1995 ni kama yafuatavyo:
Kenya: Hudhurio-kilele lilikuwa 20,519 na 521 walibatizwa.
Rwanda: Hudhurio-kilele lilikuwa 4,424 na 285 walibatizwa.
Tanzania: Ilikuwa shangwe kuona 9,971 wakihudhuria na 280 kubatizwa.
Uganda: Kulikuwa na mikusanyiko mitatu kukiwa na hudhurio la 3,251 na 127 walibatizwa.