Habari Za Kitheokrasi
◼ Majumba ya Ufalme yafuatayo yaliwekwa wakfu hivi karibuni:
Burundi: Muyinga.
Kenya: Embu, Bondo, Kaplong, Kisumu South, na Tabaka.
Tanzania: Dar es Salaam Tabata, Kasumulu, Kigoma Bangwe, Korogwe, Maramba, Nyegezi, Rombo, na Songwe.
Uganda: Kampala Northeast.