Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 5/01 uku. 7
  • Matangazo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Matangazo
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2001
Huduma Yetu ya Ufalme—2001
km 5/01 uku. 7

Matangazo

◼ Toleo la vichapo la Mei: Magazeti ya Mnara wa Mlinzi na Amkeni! Unapopata watu wenye kupendezwa kwenye ziara za kurudia, waweza kutoa maandikisho. Toa kitabu Ujuzi au broshua Anataka, ukiwa na lengo la kuanzisha mafunzo ya Biblia ya nyumbani. Juni: Mungu Anataka Tufanye Nini? au Ujuzi Uongozao Kwenye Uhai Udumuo Milele. Jitahidi kuanzisha mafunzo ya Biblia ya nyumbani. Julai na Agosti: Broshua yoyote kati ya broshua zifuatazo zenye kurasa 32 yaweza kutolewa: Furahia Milele Maisha Duniani!, Je! Kweli Mungu Anatujali?, Je! Uamini Utatu?, Jina la Mungu Litakaloendelea Milele, Mtu Fulani Umpendaye Anapokufa, Ni Nini Hutupata Tunapokufa?, Ni Nini Lililo Kusudi la Uhai—Wewe Waweza Kulipataje?, Serikali Itakayoleta Paradiso, na “Tazama! Mimi Ninafanya Vitu Vyote Kuwa Vipya.” Broshua Je! Ulimwengu Usio na Vita Utakuwako Wakati Wowote?, Kitabu kwa Ajili ya Watu Wote, Roho za Wafu—Je! Zaweza Kukusaidia au Kukuumiza? Je! Ziko Kweli?, na Our Problems—Who Will Help Us Solve Them? vyaweza kutolewa mahali panapovifaa. Kijitabu Roho Zisizoonekana na kitabu Jitihada ya Ainabinadamu ya Kutafuta Mungu na Vijana Huuliza vitatolewa pia.

◼ Mwangalizi-msimamizi au mtu fulani aliyeteuliwa naye apaswa kukagua hesabu ya kutaniko Juni 1 au upesi iwezekanavyo baada ya hapo. Jambo hilo lifanywapo, tangazieni kutaniko baada ya ripoti ifuatayo ya hesabu kusomwa.

◼ Darasa la kumi la Shule ya Mazoezi ya Kihuduma nchini Kenya lilihitimu Desemba 17, 2000. Shule hiyo yaendelea kuandaa mazoezi yanayofaa kwa akina ndugu ambao wako tayari kujitolea kushiriki kwa kiwango kikubwa kazi ya mavuno. (Mt. 9:36, 37) Wazee na watumishi wa huduma ambao ni waseja, wenye umri wa kati ya miaka 23-50, wanaojua Kiingereza au Kifaransa na wanapendezwa na shule hiyo, wanaweza kuhudhuria mkutano wa wale wanaopenda kuhudhuria shule hiyo kwenye kusanyiko la mzunguko lifuatalo.

◼ Kuanzia juma la Julai 30, 2001, tutaanza kujifunza kitabu Unabii wa Isaya—Nuru kwa Wanadamu Wote I katika Funzo la Kitabu la Kutaniko.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki