Matangazo
◼ Toleo la vichapo la Julai na Agosti: Broshua yoyote kati ya broshua zifuatazo zenye kurasa 32 yaweza kutolewa: Furahia Milele Maisha Duniani!, Je! Kweli Mungu Anatujali?, Je! Uamini Utatu?, Jina la Mungu Litakaloendelea Milele, Mtu Fulani Umpendaye Anapokufa, Ni Nini Hutupata Tunapokufa?, Ni Nini Lililo Kusudi la Uhai?—Wewe Waweza Kulipataje?, Serikali Itakayoleta Paradiso, na “Tazama! Mimi Ninafanya Vitu Vyote Kuwa Vipya.” Broshua Je! Ulimwengu Usio na Vita Utakuwako Wakati Wowote?, Kitabu kwa Ajili ya Watu Wote, Roho za Wafu—Je! Zaweza Kukusaidia au Kukuumiza? Je! Ziko Kweli?, na Our Problems—Who Will Help Us Solve Them? zaweza kutolewa mahali panapozifaa. Kijitabu Roho Zisizoonekana na vitabu Jitihada ya Ainabinadamu ya Kutafuta Mungu na Vijana Huuliza vitatolewa pia katika miezi hiyo. Septemba: Yule Mtu Mkuu Zaidi Aliyepata Kuishi, Unaweza Kuishi Milele Katika Paradiso Duniani, na Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu! Oktoba: Magazeti ya Mnara wa Mlinzi na Amkeni! Mtu akipendezwa kwenye ziara ya kurudia, waweza kutoa andikisho.
◼ Kuanzia Septemba, waangalizi wa mzunguko watatoa hotuba yenye kichwa “Jinsi Wakristo wa Kweli Wanavyopamba Mafundisho ya Mungu.”
◼ Vichapo Vipya Vinavyopatikana:
Who Are Jehovah’s Witnesses? (kwa Waislamu) (Trakti Na. 73) —Kiingereza