Matangazo
◼ Toleo la vichapo la Julai na Agosti: Broshua yoyote kati ya broshua zifuatazo zenye kurasa 32 yaweza kutumiwa: Furahia Milele Maisha Duniani!, Je! Kweli Mungu Anatujali?, Je! Uamini Utatu?, Je, Umeipata Barabara Inayoongoza Kwenye Uhai wa Milele?, Jina la Mungu Litakaloendelea Milele, Mtu Fulani Umpendaye Anapokufa, Ni Nini Hutupata Tunapokufa?, Ni Nini Lililo Kusudi la Uhai–Wewe Waweza Kulipataje?, Serikali Itakayoleta Paradiso, “Tazama! Mimi Ninafanya Vitu Vyote Kuwa Vipya,” na Wewe Unaweza Kuwa Rafiki ya Mungu! Broshua zifuatazo zinaweza kutolewa mahali panapofaa: Je! Ulimwengu Usio na Vita Utakuwako Wakati Wowote?, Jinsi ya Kupata Maisha Yenye Kuridhisha, Kitabu kwa Ajili ya Watu Wote, Roho za Wafu—Je! Zaweza Kukusaidia au Kukuumiza? Je! Ziko Kweli?, na Our Problems—Who Will Help Us Solve Them? Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo yaweza pia kutolewa miezi hiyo. Septemba: Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!, Unaweza Kuishi Milele Katika Paradiso Duniani, na Life—How Did It Get Here? By Evolution or by Creation? Oktoba: Mnara wa Mlinzi na Amkeni! Mtu akipendezwa, toa broshua Anataka na ujitahidi sana kuanzisha mafunzo ya Biblia.
◼ Kuanzia Septemba, hotuba ya watu wote ya waangalizi wa mzunguko itakuwa na kichwa “Kwa Nini Umwogope Mungu wa Kweli?”