Sikiliza Unabii wa Danieli!
Ratiba ya funzo ya juma linaloanza Juni 27, 2005 hadi juma la Aprili 10, 2006.
JUMA LA SURA YA FUNGU LA MISTARI YA FUNZO
Juni 27 1 1-18
Julai 4 2 1-15
11 2 16-32
18 3 1-14 Dan. 1:1-7
25 3 15-26 Dan. 1:8-15
Ago. 1 3 27-37 Dan. 1:16-21
8 4 1-11 Dan. 2:1-39
15 4 12-24* Dan. 2:39, 40
22 4 25-36 Dan. 2:41-49
29 5 1-17 Dan. 3:1-18
Sept. 5 5 18-25* Dan. 3:19-30
12 6 1-14 Dan. 4:1-27
19 6 15-29 Dan. 4:28-37
26 7 1-16 Dan. 5:1-23
Okt. 3 7 17-28 Dan. 5:24-31
10 8 1-16 Dan. 6:1-17
17 8 17-29 Dan. 6:18-28
24 9 1-12 Dan. 7:1-5
31 9 13-19 Dan. 7:6, 7
Nov. 7 9 20-32 Dan. 7:8
14 9 33-40 Dan. 7:9-28
21 10 1-15 Dan. 8:1-8
28 10 16-30 Dan. 8:9-27
Des. 5 11 1-12 Dan. 9:1-23
12 11 13-20 Dan. 9:24, 25
19 11 21-30 Dan. 9:26, 27
26 12 1-13 Dan. 10:1-8
Jan. 2 12 14-22 Dan. 10:9-21
9 13 1-15 Dan. 11:1-4
16 13 16-30 Dan. 11:5-16
23 13 31-9 Dan. 11:17-19
30 14 1-15 Dan. 11:20-24
Feb. 6 14 16-27 Dan. 11:25, 26
13 15 1-15 Dan. 11:27-30a
20 15 16-25 Dan. 11:30b, 31
27 16 1-17 Dan. 11:32-41
Mac. 6 16 18-28 Dan. 11:42-45
13 17 1-12 Dan. 12:1-3
20 17 13-23 Dan. 12:4-11
27 17 24-29 Dan. 12:12
Apr. 3 18 1-12 Dan. 12:13
10 18 13-27 Dan. 12:13
Someni na mzungumzie habari ya ziada mnapozungumzia fungu au swali lenye marejeo. Kwa mfano, sanduku lenye kichwa “Suala la Lugha” (kwenye uku. 26 katika chapa ya kawaida, na uku. 32-33 katika chapa kubwa) linapaswa kuzungumziwa mnaposhughulikia sura ya 2, fungu la 25, swali la (c). Zungumzieni chati na picha zilizo katika kitabu mnapozungumzia mafungu yanayohusiana nazo. Kumbukeni kwamba chapa kubwa ya kitabu hiki haina picha zozote wala chati zilizo katika chapa ya kawaida kwenye ukurasa wa 56, 139, na 188-189. Wakati ukiruhusu, malizieni funzo kwa kusoma na kuzungumzia “mistari ya funzo” katika kitabu cha Danieli.
* Wakati ukiruhusu, mnaweza pia kurudia mambo makuu katika “mistari ya funzo” ya juma lililotangulia.