Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 7/05 uku. 7
  • Matangazo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Matangazo
  • Huduma ya Ufalme—2005
Huduma ya Ufalme—2005
km 7/05 uku. 7

Matangazo

◼ Julai na Agosti: Broshua yoyote kati ya broshua zifuatazo zenye kurasa 32 yaweza kutolewa: Furahia Milele Maisha Duniani!, Je! Kweli Mungu Anatujali?, Je! Uamini Utatu?, Je, Umeipata Barabara Inayoongoza Kwenye Uhai wa Milele?, Jina la Mungu Litakaloendelea Milele, Mtu Fulani Umpendaye Anapokufa, Mungu Anataka Tufanye Nini?, Ni Nini Hutupata Tunapokufa?, Ni Nini Lililo Kusudi la Uhai—Wewe Waweza Kulipataje?, Serikali Itakayoleta Paradiso, na “Tazama! Mimi Ninafanya Vitu Vyote Kuwa Vipya.” Huenda broshua zifuatazo zikafaa katika sehemu fulani za eneo lenu: Je! Ulimwengu Usio na Vita Utakuwako Wakati Wowote?, Jinsi ya Kupata Maisha Yenye Kuridhisha, Kitabu kwa Ajili ya Watu Wote, Roho za Wafu—Je! Zaweza Kukusaidia au Kukuumiza? Je! Ziko Kweli?, na Our Problems—Who Will Help Us Solve Them. Kitabu Ujuzi Uongozao Kwenye Uhai Udumuo Milele kinaweza kutolewa hasa katika maeneo yasiyohubiriwa kwa ukawaida. Septemba: Tunaweza kutoa kitabu Je, Kuna Muumba Anayekujali?, Ujuzi Uongozao Kwenye Uhai Udumuo Milele, na broshua Endeleeni Kukesha! iliyo na kurasa 32, au kitabu kingine chochote cha zamani ambacho kinapatikana kutanikoni. Oktoba: Tutatoa Mnara wa Mlinzi na Amkeni! Mwenye nyumba akipendezwa, tafadhali mtolee broshua Anataka, na urudi ukiwa na lengo la kuanzisha funzo la Biblia.

◼ Kuanzia Septemba, waangalizi wa mzunguko watatoa hotuba ya watu wote yenye kichwa “Kwa Nini Uongozwe na Biblia?”

◼ Inapendekezwa kwamba fomu ya ombi la upainia wa kawaida itumwe kwenye ofisi ya tawi angalau siku 30 kabla ya tarehe ambayo mtu anatazamia kuanza upainia. Mwandishi wa kutaniko anapaswa kuchunguza fomu ya ombi ili kuhakikisha kwamba imejazwa kikamili. Ikiwa wahubiri wanaotoa ombi hawakumbuki tarehe hususa waliyobatizwa, wanapaswa kukadiria tarehe hiyo na kuiandika ili waitumie kwa ukawaida kama tarehe yao ya ubatizo. Mwandishi anapaswa kuandika tarehe hiyo iliyokadiriwa katika kadi ya Rekodi ya Kutaniko ya Mhubiri (S-21).

◼ Waandishi wa makutaniko wanapaswa kuhakikisha kwamba wana Barua ya Kuwekwa Rasmi kwa Painia (S-202) kwa ajili ya kila painia wa kawaida kutanikoni. Ikiwa hawana barua hiyo, tafadhali andikieni ofisi ya tawi kuhusu jambo hilo.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki