Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 10/07 uku. 7
  • Pitio la Shule ya Huduma ya Kitheokrasi

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Pitio la Shule ya Huduma ya Kitheokrasi
  • Huduma ya Ufalme—2007
Huduma ya Ufalme—2007
km 10/07 uku. 7

Pitio la Shule ya Huduma ya Kitheokrasi

Maswali yafuatayo yatashughulikiwa katika Shule ya Huduma ya Kitheokrasi juma linaloanza Oktoba 29, 2007. Mwangalizi wa shule ataongoza pitio la dakika 30 linalotegemea habari zilizozungumziwa katika hotuba ambazo zilitolewa kuanzia juma la Septemba 3 hadi Oktoba 29, 2007.

SIFA ZA USEMI

1. Kwa nini ni muhimu kurudia mambo unapofundisha? [be uku. 206 fu. 1-2, sanduku]

2. Ni katika njia gani tunaweza kukazia kichwa kikuu cha hotuba? [be uku. 210, sanduku]

3. Mambo makuu ya hotuba ni yapi na nini kitatusaidia kuyachagua? [be uku. 212 fu. 1-3]

4. Kwa nini hatupaswi kuwa na mambo makuu mengi katika hotuba? [be uku. 213 fu. 2-4]

5. Kwa nini ni muhimu utangulizi wetu uamshe upendezi, na tunaweza kufanyaje hivyo? [be uku. 215 fu. 1; uku. 216 fu. 1-3, sanduku]

HOTUBA NA. 1

6. Zaburi 119:89, 90 inatusaidiaje tuthamini kwamba tunaweza kulitegemea neno la Mungu? [w05 4/15 uku. 15 fu. 3]

7. Kitabu cha Ezekieli kinakazia nini, na tokeo litakuwa nini kwa wale ambao watakasa Yehova sasa katika maisha zao? [si uku. 137 fu. 33]

8. “Neno la Yehova” linawezaje kuulinda moyo wetu? (Zab. 18:30) [w05 9/1 uku. 30 fu. 2]

9. Tumaini la Ufalme lakaziwaje katika Danieli yote? [si uku. 142 fu. 23]

10. Kitabu cha Hosea kinaimarishaje imani yetu katika unabii mbalimbali uliopuliziwa na Yehova? [si uku. 145 fu. 14]

USOMAJI WA BIBLIA WA KILA JUMA

11. Kupimwa kwa hekalu katika maono ya Ezekieli kulimaanisha nini, na kunatupa uhakikisho juu ya nini leo? (Eze. 40:2-5) [w99 3/1 uku. 9 fu. 6; uku. 14 fu. 7]

12. Katika utimizo wa mwisho wa maono ya Ezekieli, “mkuu” hufananisha nani? (Eze. 48:21) [w99 3/1 uku. 16 fu. 13-15; uku. 22-23 fu. 19-20]

13. Danieli 2:21 inamaanisha nini? [w98 9/15 uku. 12 fu. 9]

14. Ni nini kilichomfanya Danieli awe “mtu mwenye kutamanika sana” machoni pa Yehova? (Dan. 9:23) [dp uku. 185 fu. 12; w04 8/1 uku. 12 fu. 17]

15. Ni katika maana gani hakukuwa na “kumjua Mungu katika nchi” ya Israeli, na tunapaswa kuwa na maoni gani kuhusu maneno hayo? (Hos. 4:1, 2, 6) [w05 11/15 uku. 21 fu. 21; jd uku. 58 fu. 5; uku. 61 fu. 10]

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki