Ratiba ya Juma Linaloanza Januari 12
JUMA LINALOANZA JANUARI 12
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mwanzo 6-10
Na. 1: Mwanzo 9:1-17
Na. 2: Kujibu Maswali ya Watu Wasiomwamini Mungu (rs uku. 220 ¶1–uku. 221 ¶2)
Na. 3: Barua Kutoka kwa Mungu Mwenye Upendo (lr sura ya 2)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo ya kwenu.
Dak. 10: Manufaa ya Kuwa na Mtazamo Unaofaa Katika Huduma Yetu. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji. Yesu alituwekea mfano mzuri kwa sababu aliwaona watu aliowahubiria kama kondoo waliohitaji msaada. (Mt. 9:36-38) Ingawa mwanzoni Anania alisita kumtembelea Sauli, ni nini kilichomsaidia abadili maoni yake? (Mdo. 9:13-15) Anania alionyeshaje mtazamo unaofaa kwa jinsi ambavyo alizungumza na Sauli? (Mdo. 9:17) Tuna sababu gani za kuwa na mtazamo unaofaa tunapozungumza na watu katika eneo letu? Kuwa na mtazamo unaofaa kutatusaidiaje kuwa na matokeo bora katika huduma yetu? Hoji kifupi mhubiri mmoja au wawili ambao mtazamo wao unaofaa umewafanya wapate matokeo mazuri katika huduma.
Dak. 10: Jinsi ya Kutumia Kitabu Kutoa Sababu kwa Kutumia Maandiko. Hotuba itolewe na mwangalizi wa utumishi au mzee mwingine ikitegemea kitabu Kutoa Sababu, ukurasa wa 7-8.
Dak. 10: “Watasikiaje?”a
[Maelezo ya Chini]
a Toa utangulizi usiozidi dakika moja, kisha uendeleze mazungumzo kwa maswali na majibu.