Ratiba ya Juma Linaloanza Januari 19
JUMA LINALOANZA JANUARI 19
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mwanzo 11-16
Na. 1: Mwanzo 14:1-16
Na. 2: Ni Nani Aliyeviumba Vitu Vyote? (lr sura ya 3)
Na. 3: Yehova Anatufinyanga Jinsi Gani? (Isa. 64:8)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo ya kwenu. Matangazo yaliyoteuliwa kutoka katika Huduma Yetu ya Ufalme.
Dak. 10: Mwogope Mungu wa Kweli na Kushika Amri Zake. Hotuba yenye kuchochea itolewe na mzee ikitegemea kitabu Shule ya Huduma ukurasa wa 272 hadi ukurasa wa 273, fungu la 1.
Dak. 10: Toleo la Februari. Pitia kifupi yaliyomo katika vitabu vinavyotolewa, na upange onyesho moja au mawili ya jinsi ya kutoa vitabu hivyo.
Dak. 10: “Jitunzeni Katika Upendo wa Mungu.”a Taja mambo ya pekee katika kitabu hicho. Watie moyo wote wahudhurie funzo hilo kwa ukawaida na washiriki kikamili katika kutoa maelezo.
[Maelezo ya Chini]
a Toa utangulizi usiozidi dakika moja, kisha uendeleze mazungumzo kwa maswali na majibu.