Ratiba ya Juma Linaloanza Februari 9
JUMA LINALOANZA FEBRUARI 9
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mwanzo 25-28
Na. 1: Mwanzo 25:1-18
Na. 2: Mwalimu Mkuu Aliwahudumia Wengine (lr sura ya 6)
Na. 3: Kwa Nini Jitihada za Wanadamu za Kuleta Kitulizo Haziwezi Kufanikiwa? (rs uku. 266 ¶3–uku. 267 ¶2)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 8: Mwaliko Mpya wa Kutaniko. Hotuba inayoeleza sehemu na matumizi ya mwaliko mpya. Watu wote wanaopendezwa kwa kadiri fulani wanapaswa kupewa mwaliko huo. Onyesha jinsi mwaliko huo unavyoweza kutumiwa nyumba kwa nyumba na katika kufanya ziara za kurudia.
Dak. 10: Mambo Yaliyoonwa Katika Kuanzisha Mafunzo ya Biblia. Eleza matokeo katika eneo lenu wakati wahubiri waliposhiriki kuanzisha mafunzo ya Biblia katika Jumamosi au Jumapili iliyoteuliwa mwezi uliopita. Watie moyo wote washiriki kuanzisha mafunzo ya Biblia katika siku ya pekee iliyoteuliwa.
Dak. 12: “Kampeni ya Pekee ya Kutangaza Ukumbusho!” Mazungumzo ya maswali na majibu. Mpe kila mtu aliyehudhuria nakala ya mwaliko wa Ukumbusho na upitie habari zilizo kwenye mwaliko huo. Onyesha jinsi mwaliko huo unavyoweza kutolewa.