Ratiba ya Juma Linaloanza Februari 16
JUMA LINALOANZA FEBRUARI 16
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mwanzo 29-31
Na. 1: Mwanzo 29:1-20
Na. 2: Kwa Nini ‘Tuache Kuhangaika?’ (Mt. 6:25)
Na. 3: Utii Unakulinda Wewe (lr sura ya 7)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 15: ‘Fanya Mambo Yote kwa Ajili ya Habari Njema.’ Mazungumzo ya maswali na majibu.
Dak. 15: Je, Unaweza Kuwa Painia Msaidizi Majira ya Ukumbusho? Hotuba yenye kusisimua itolewe na mwangalizi wa utumishi. Eleza matakwa ya kuwa painia msaidizi. Kazia shangwe na baraka za upainia msaidizi. Taja mipango kwa ajili ya mikutano ya ziada ya utumishi wa shambani katika miezi ya Machi, Aprili, na Mei. Wahoji wahubiri wawili au watatu ambao walikuwa mapainia wasaidizi mwaka uliopita. Walifanya mabadiliko gani katika ratiba yao? Walipata baraka gani? Tia moyo kila familia ifikirie jinsi mtu mmoja au zaidi katika familia anavyoweza kuwa painia msaidizi wakati wa majira ya Ukumbusho.