Habari Kuu za Utumishi
Kenya: Katika mwezi wa Oktoba 2008 kulikuwa na kilele kipya cha mapainia wa kawaida 2,410.
Sudan: Ripoti ya utumishi ya mwezi wa Oktoba inaonyesha kwamba kulikuwa na ongezeko la asilimia 8 la wahubiri ikilinganishwa na mwaka wa utumishi uliopita.
Tanzania: Ndugu na dada 2,043 walishiriki utumishi fulani wa painia katika mwezi wa Oktoba 2008, na wahubiri 12,849 nchini humo waliongoza mafunzo ya Biblia 21,092.