Ratiba ya Juma Linaloanza Machi 16
JUMA LINALOANZA MACHI 16
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
lv sura ya 2 ¶12-21, sanduku kwenye uku. 24
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mwanzo 43-46
Na. 1: Mwanzo 44:1-17
Na. 2: Yesu Ana Nguvu Kuliko Roho Waovu (lr sura ya 10)
Na. 3: Unabii wa Biblia Umekuwa Wenye Kutegemeka Kabisa (rs uku. 268 ¶2-uku. 269 ¶1)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Utu wa Yehova. Hotuba yenye kusisimua inayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 274, fungu la 2-5.
Dak. 10: Tumia Vizuri Kitabu cha Mwaka cha 2009. Hotuba na mazungumzo pamoja na wasikilizaji. Zungumzia “Barua Kutoka kwa Baraza Linaloongoza,” kwenye ukurasa wa 3 wa Kitabu cha Mwaka. Panga mapema ili wahubiri wasimulie mambo yaliyoonwa ambayo yaliwatia moyo sana katika Kitabu cha Mwaka. Waombe wasikilizaji waeleze mambo yenye kupendeza katika ripoti ya ulimwenguni pote. Malizia kwa kuwatia moyo wote wasome kitabu chote. Ikiwa Kitabu cha Mwaka cha 2009 hakijafika, zungumzia barua iliyo katika Kitabu cha Mwaka cha 2008 na uwatie moyo wote wasome Kitabu cha Mwaka cha 2009 kitakapofika.
Dak. 10: “Jinsi ya Kutumia Kitabu ‘Upendo wa Mungu’ Kuongoza Mafunzo ya Biblia.” Toa utangulizi usiozidi dakika moja, kisha uendeleze mazungumzo kwa maswali na majibu.