Ratiba ya Juma Linaloanza Aprili 13
JUMA LINALOANZA APRILI 13
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
Nyongeza ya lv kuanzia kichwa kidogo kwenye uku. 207 hadi uku. 209
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Kutoka 11-14
Na. 1: Kutoka 12:21-36
Na. 2: Kwa Nini Tuwe Wenye Kusamehe? (lr sura ya 14)
Na. 3: Tofauti Kati ya Maponyo ya Kimuujiza ya Yesu na Mitume Wake na Yale Yanayofanywa Leo (rs uku. 356 ¶3–uku. 357 ¶2)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Zungumzia mambo yaliyotimizwa katika ile siku ya pekee ya kuanzisha mafunzo ya Biblia. Simulia jambo moja au mawili yaliyoonwa katika eneo lenu.
Dak. 10: Uwe Mwenye Busara Unapohubiri. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yakitegemea kichwa kidogo kwenye ukurasa wa 197 katika kitabu Shule ya Huduma. Onyesha jinsi mhubiri anavyoweza kumjibu mwenye nyumba anayetoa kipingamizi ambacho watu wengi hutoa.
Dak. 10: “Kazi ya Kuhubiri Inatusaidia Kuendelea Kuwa Imara Kiroho.” Mazungumzo ya maswali na majibu.