Ratiba ya Juma Linaloanza Aprili 20
JUMA LINALOANZA APRILI 20
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Kutoka 15-18
Na. 1: Kutoka 15:1-19
Na. 2: Kuepuka Ibada ya Uwongo Kunahusisha Nini?
Na. 3: Jinsi ya Kuwa Mwenye Fadhili (lr sura ya 15)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Mambo Yanayothibitisha Kwamba Biblia Iliongozwa na Roho ya Mungu. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yakitegemea kitabu Kutoa Sababu, ukurasa wa 34-38.
Dak. 10: Jitayarishe Kutoa Mnara wa Mlinzi la Aprili 1 na Amkeni! la Aprili. Waombe wasikilizaji wataje makala ambazo zinaweza kuwavutia watu katika eneo lenu na kwa nini zinaweza kuwavutia. Onyesha jinsi kila gazeti linavyoweza kutolewa katika eneo lenu. Katika onyesho moja, onyesha jinsi funzo linavyoweza kuanzishwa kwenye ziara ya kurudia.—Ona km 4/07 uku. 3.
Dak. 10: “Wafundishe Watu Wasioweza Kusoma Vizuri.” Unapozungumzia fungu la 3, panga kuwe na onyesho fupi la painia anayetumia vizuri picha katika kitabu cha funzo.