Ratiba ya Juma Linaloanza Mei 18
JUMA LINALOANZA MEI 18
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
lv sura ya 5 ¶1-6, masanduku kwenye uku. 52, 55
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Kutoka 30-33
Na. 1: Kutoka 31:1-18
Na. 2: Kwa Nini Wakristo wa Karne ya Kwanza Walipewa Zawadi za Kuponya? (rs uku. 358 ¶2–uku. 359 ¶2)
Na. 3: Je, Wewe Hukumbuka Kusema Asante? (lr sura ya 18)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Jina la Mungu Ni Ngome Imara. Hotuba inayotegemea habari chini ya kichwa kidogo cha pili kuanzia ukurasa wa 274 katika kitabu Shule ya Huduma.
Dak. 10: Mambo Matatu Muhimu Katika Utangulizi Mzuri. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yanayotegemea kitabu Kutoa Sababu, ukurasa wa 9, fungu la 1. Baada ya kuzungumzia habari hii, toa onyesho kuhusu utangulizi unaofaa wa toleo la Juni.
Dak. 10: “Jinsi ya Kutayarisha Mkutano wa Utumishi.” Mazungumzo kwa maswali na majibu.