Matangazo
◼ Toleo la mwezi wa Mei: Magazeti ya Mnara wa Mlinzi na Amkeni! Unapowarudia watu wenye kupendezwa, kutia ndani wale wanaohudhuria Ukumbusho na/au mikutano au makusanyiko fulani, lakini hawashirikiani na kutaniko kwa ukawaida, jitahidi kuwaachia kitabu Biblia Inafundisha Nini Hasa? Lengo linapaswa kuwa kuanzisha funzo la Biblia kwa kutumia kitabu hicho. Juni: Biblia Inafundisha Nini Hasa? Ikiwa wenye nyumba wana kitabu hicho, wahubiri wanaweza kutoa kitabu Mwabudu Mungu wa Pekee wa Kweli, Ujuzi Uongozao Kwenye Uhai Udumuo Milele, au broshua Mungu Anataka Tufanye Nini? Julai na Agosti: Wahubiri wanaweza kutumia yoyote kati ya broshua zifuatazo zenye kurasa 32 zinazopatikana: Endeleeni Kukesha!, Furahia Milele Maisha Duniani!, Je! Kweli Mungu Anatujali? Je! Uamini Utatu? Je! Ulimwengu Usio na Vita Utakuwako Wakati Wowote?, Je, Umeipata Barabara Inayoongoza Kwenye Uhai wa Milele?, Jina la Mungu Litakaloendelea Milele, Jinsi ya Kupata Maisha Yenye Kuridhisha, Kitabu kwa Ajili ya Watu Wote, Mtu Fulani Umpendaye Anapokufa, Ni Nini Hutupata Tunapokufa?, Ni Nini Lililo Kusudi la Uhai—Wewe Waweza Kulipataje?, Roho za Wafu—Je! Zaweza Kukusaidia au Kukuumiza? Je! Ziko Kweli?, Serikali Itakayoleta Paradiso, “Tazama! Mimi Ninafanya Vitu Vyote Kuwa Vipya,” Our Problems—Who Will Help Us Solve Them?, au broshua nyingine zozote za lugha za kienyeji zinazopatikana.