Ratiba ya Juma Linaloanza Juni 1
JUMA LINALOANZA JUNI 1
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Kutoka 38-40
Na. 1: Kutoka 40:1-19
Na. 2: Je, Unapenda Kujitanguliza Kila Wakati? (lr sura ya 20)
Na. 3: Kuna Tumaini Gani kwa Wanadamu Wote Kuponywa Kikweli? (rs uku. 359 ¶3-5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo
Dak. 10: Wasaidie Wengine Wafanye Maendeleo. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yanayotegemea habari chini ya kichwa kidogo cha pili, kuanzia ukurasa wa 187 wa kitabu Shule ya Huduma. Mhoji kwa ufupi painia au mhubiri mwingine ambaye amewasaidia wapya kufanya maendeleo.
Dak. 10: Mahitaji ya kwenu.
Dak. 10: Tulitimiza Nini? Mazungumzo pamoja na wasikilizaji. Wapongeze akina ndugu kwa kuongeza utendaji wao katika majira ya Ukumbusho, na utaje mambo hususa yaliyotimizwa. Waombe wasikilizaji wasimulie mambo waliyofurahia walipogawa mialiko ya Ukumbusho au walipokuwa mapainia wasaidizi.