Ratiba ya Juma Linaloanza Mei 25
JUMA LINALOANZA MEI 25
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Kutoka 34-37
Na. 1: Kutoka 37:1-24
Na. 2: Je, Ni Vizuri Kupigana? (lr sura ya 19)
Na. 3: Uendekevu Ni Nini, na kwa Nini Tuuepuke?
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Jitayarishe Kutoa Gazeti la Mnara wa Mlinzi la Mei 1 na Amkeni! la Mei. Baada ya kuzungumzia magazeti hayo kwa ufupi, waombe wasikilizaji wataje makala ambazo wamepanga kuzizungumzia na kwa nini wamezichagua. Ni maswali na maandiko gani yanayoweza kutumiwa unapomwonyesha mtu makala hizo? Onyesha jinsi kila gazeti linavyoweza kutolewa katika eneo lenu.
Dak. 10: Kutoa Ushahidi Kuhusu Yesu. Hotuba inayotegemea mafungu manne chini ya kichwa hiki kwenye ukurasa wa 275 na 276 wa kitabu Shule ya Huduma.
Dak. 10: “Tumia Vizuri Vitabu na Magazeti Yetu.” Mazungumzo kwa maswali na majibu. Waeleze akina ndugu kuhusu tofauti kati ya idadi ya vichapo vinavyoagizwa na idadi ya vichapo vinavyoachiwa watu.