Ratiba ya Juma Linaloanza Juni 8
JUMA LINALOANZA JUNI 8
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mambo ya Walawi 1-5
Na. 1: Mambo ya Walawi 4:1-15
Na. 2: Je, Ni Vizuri Kujisifia Jambo Lolote? (lr sura ya 21)
Na. 3: Wakristo Wanapaswa Kutumiaje Mamlaka?
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Daraka Muhimu la Yesu Katika Kusudi la Mungu. Hotuba inayotegemea habari chini ya kichwa kidogo kuanzia ukurasa wa 276 katika kitabu Shule ya Huduma.
Dak. 10: Toleo la Mwezi wa Juni. Panga onyesho linalofaa eneo lenu. Pia panga onyesho la jinsi ya kutumia toleo la Juni wakati wa kumtolea mtu funzo la Biblia.
Dak. 10: “Huduma Yetu Inaonyesha Kwamba Tunampenda Mungu.” Mazungumzo kwa maswali na majibu.