Ratiba ya Juma Linaloanza Juni 15
JUMA LINALOANZA JUNI 15
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mambo ya Walawi 6-9
Na. 1: Mambo ya Walawi 8:1-17
Na. 2: ‘Je, Unaamini Uponyaji?’ (rs uku. 359 ¶6–uku. 360 ¶1)
Na. 3: Kwa Nini Hatupaswi Kusema Uwongo? (lr sura ya 22)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Hubiri Habari Njema. Hotuba inayotolewa kwa uchangamfu ambayo inategemea habari kwenye ukurasa wa 279, fungu la 1-4, katika kitabu Shule ya Huduma.
Dak. 10: Mtu Akisema, ‘Ninaamini Mageuzi.’ Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yanayotegemea kitabu Kutoa Sababu, ukurasa wa 166-168. Panga onyesho fupi kuhusu jinsi tunavyoweza kujibu mtu anayesema, ‘Mimi naamini kwamba Mungu alimwumba mwanadamu kwa njia ya mageuzi.’
Dak. 10: “Jitayarishe Vizuri Kufundisha.” Mazungumzo kwa maswali na majibu.