Ratiba ya Juma Linaloanza Julai 20
JUMA LINALOANZA JULAI 20
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mambo ya Walawi 25-27
Na. 1: Mambo ya Walawi 25:39-54
Na. 2: Kwa Nini Si Rahisi Kutenda Mema? (lr sura ya 26)
Na. 3: Kama Adamu Hangefanya Dhambi, je, Mwishowe Angeenda Mbinguni? (rs uku. 198 ¶4-5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Kumweka Kristo Kuwa Msingi. Hotuba inayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 278, fungu la 1-4.
Dak. 10: Jitayarishe Kutoa Mnara wa Mlinzi la Julai 1 na Amkeni! la Julai. Baada ya kuzungumzia magazeti hayo kwa ufupi, waombe wasikilizaji wataje makala ambazo wanafikiri zinaweza kuwavutia watu katika eneo lenu na kwa nini wanafikiri zinaweza kuwavutia. Waombe wasikilizaji wapendekeze swali ambalo wangeuliza ili kuanzisha mazungumzo na ni andiko gani ambalo wangesoma kabla ya kumtolea mwenye nyumba magazeti. Malizia kwa maonyesho kuhusu jinsi kila gazeti linavyoweza kutolewa.
Dak. 10: “Kusanyiko la Mzunguko Litakalotusaidia Kulinda Hali Yetu ya Kiroho.” Mazungumzo kwa maswali na majibu.