Ratiba ya Juma Linaloanza Julai 27
JUMA LINALOANZA JULAI 27
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Hesabu 1-3
Na. 1: Hesabu 3:1-20
Na. 2: Kujizuia Kunahitajika Ili Tuwe Wapole
Na. 3: Mungu Wako Ni Nani? (lr sura ya 27)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo na Habari Kuu za Utumishi.
Dak. 10: Tumia Maswali Vizuri. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yanayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 236 hadi wa 237, fungu la 2. Panga onyesho fupi kuhusu jambo moja au mawili katika habari hiyo.
Dak. 10: Wahoji wazazi wawili au watatu ambao ni mfano mzuri. Wanakabilianaje na changamoto ya kuhubiri wakiwa familia? Wamechukua hatua gani ili kuwasaidia watoto wao kushiriki kwa bidii katika kazi ya kuhubiri? Wametumiaje mpango wa Ibada ya Familia kuwatayarisha watoto wao kushiriki katika huduma?
Dak. 10: “Msifu Yehova Kila Siku.” Mazungumzo kwa maswali na majibu.