Habari Kuu za Utumishi
Eritrea: Wahubiri 30 walifanya utumishi wa painia msaidizi mwezi wa Februari na watu 14 walibatizwa hivi majuzi.
Kenya: Mwezi wa Februari magazeti 271,117 yaligawiwa watu, na kulikuwa na kilele kipya cha mafunzo ya Biblia 38,395 yaliyoongozwa.
Uganda: Mwezi wa Februari kulikuwa na kilele kipya cha magazeti 67,454 ambayo wahubiri 4,760 waliwagawia watu.