Ratiba ya Juma Linaloanza Agosti 24
JUMA LINALOANZA AGOSTI 24
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
lv sura ya 9 ¶1-12, sanduku kwenye uku. 101
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Hesabu 14-16
Na. 1: Hesabu 14:26-43
Na. 2: Kupenda Sheria ya Mungu Kunamaanisha Nini? (Zab. 119:97)
Na. 3: Mahali pa Kupata Faraja (lr sura ya 31)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Jitayarishe Kuwatolea Watu Mnara wa Mlinzi la Agosti 1 na Amkeni! la Agosti. Pitia kifupi magazeti hayo, kisha waombe wasikilizaji wataje swali ambalo wamepanga kuuliza ili kuanzisha mazungumzo na andiko ambalo wamepanga kusoma kabla ya kumtolea mwenye nyumba magazeti. Malizia kwa onyesho moja au mawili.
Dak. 20: “Jitahidi Kuwahubiria Wanaume.” Mazungumzo kwa maswali na majibu. Baada ya kuzungumzia fungu la 9, mhoji mzee. Amesaidiwaje kupata mapendeleo ya utumishi kutanikoni? Amepata mazoezi gani, na amezoezwa na nani?