Matangazo
◼ Toleo la mwezi wa Agosti: Wahubiri wanaweza kutoa yoyote kati ya broshua zifuatazo zenye kurasa 32 zinazopatikana: Endeleeni Kukesha!, Furahia Milele Maisha Duniani!, Je! Kweli Mungu Anatujali?, Je! Uamini Utatu?, Je! Ulimwengu Usio na Vita Utakuwako Wakati Wowote?, Je, Umeipata Barabara Inayoongoza Kwenye Uhai wa Milele?, Jina la Mungu Litakaloendelea Milele, Jinsi ya Kupata Maisha Yenye Kuridhisha, Kitabu kwa Ajili ya Watu Wote, Mtu Fulani Umpendaye Anapokufa, Ni Nini Hutupata Tunapokufa?, Ni Nini Lililo Kusudi la Uhai—Wewe Waweza Kulipataje?, Roho za Wafu—Je! Zaweza Kukusaidia au Kukuumiza? Je! Ziko Kweli?, Serikali Itakayoleta Paradiso, “Tazama! Mimi Ninafanya Vitu Vyote Kuwa Vipya,” Our Problems—Who Will Help Us Solve Them?, au broshua nyingine yoyote ya lugha ya kienyeji inayopatikana. Septemba: Biblia Inafundisha Nini Hasa? Inapowezekana, wahubiri watajitahidi kuanzisha funzo la Biblia katika ziara ya kwanza mtu anapochukua kitabu. Mwonyeshe mwenye nyumba jinsi kitabu hicho kinavyoweza kumnufaisha kwa kumwonyesha kifupi jinsi funzo la Biblia linavyofanywa. Oktoba: Magazeti ya Mnara wa Mlinzi na Amkeni! Mtu akipendezwa, zungumzia trakti Je, Ungependa Kujua Ukweli? Ikiwa mwenye nyumba tayari ana trakti hiyo, mhubiri anapaswa kujitahidi kuanzisha funzo la Biblia. Novemba: Biblia Inafundisha Nini Hasa? Ikiwa mwenye nyumba tayari ana kitabu hicho, wahubiri wanaweza kumwachia kitabu Ibada, au Ujuzi, au kitabu kingine chochote chenye kurasa 192 ambacho karatasi zake zimebadilika rangi au kitabu chochote kilichochapishwa kabla ya mwaka wa 1995. Broshua Anataka inaweza kutolewa pia.