Ratiba ya Juma Linaloanza Septemba 7
JUMA LINALOANZA SEPTEMBA 7
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
lv sura ya 9 ¶22-26, sanduku kwenye uku. 109, na nyongeza kwenye uku. 218-219
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Hesabu 22-25
Na. 1: Hesabu 22:20-35
Na. 2: Jinsi Yesu Alivyolindwa (lr sura ya 32)
Na. 3: Andiko la 1 Petro 4:6 Linamaanisha Nini? (rs uku. 199 ¶5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Kujibu Maswali Kuhusu Siku za Mwisho. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yanayotegemea kitabu Kutoa Sababu ukurasa wa 292, fungu la 1, hadi ukurasa wa 293, fungu la 2. Panga onyesho fupi kuhusu mojawapo ya madokezo hayo.
Dak. 10: Mahitaji ya kwenu. Unaweza kuzungumza na wasikilizaji juu ya makala, “Mazishi ya Kikristo Ni Yenye Heshima, Kiasi, na Yanampendeza Mungu,” katika gazeti la Mnara wa Mlinzi la Februari 15, 2009, uku. 29-32.
Dak. 10: Njia za Kuwatafuta Wanaostahili Ambazo Zimethibitika Kuwa na Matokeo. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yanayotegemea kitabu Tengenezo, ukurasa wa 95, fungu la 3, hadi ukurasa wa 96, fungu la 4. Panga mhubiri mmoja au wawili waeleze au waigize jambo moja au mawili mazuri yaliyoonwa walipotumia njia tofauti-tofauti za kutoa ushuhuda.