Habari Kuu za Utumishi
Kenya: Tunafurahi kwamba katika mwezi wa Machi tulikuwa na kilele kipya cha mapainia wa kawaida 2,461 na cha mafunzo ya Biblia 38,789.
Uganda: Kulikuwa na vilele vipya vya wahubiri 4,861, mapainia wa kawaida 534, magazeti 84,367, na ziara za kurudia 63,091.