Ratiba ya Juma Linaloanza Septemba 14
JUMA LINALOANZA SEPTEMBA 14
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Hesabu 26-29
Na. 1: Hesabu 27:1-14
Na. 2: Mwongozo wa Akilini Unamaanisha Nini, na Kwa Nini Ni Muhimu? (Efe. 6:4)
Na. 3: Yesu Anaweza Kutulinda (lr sura ya 33)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Kufanya Ziara za Kurudia. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yanayotegemea mafungu matatu chini ya kichwa kidogo kwenye ukurasa wa 97 wa kitabu Tengenezo. Panga onyesho kuhusu jinsi ya kumrudia mtu aliyechukua toleo la mwezi huu.
Dak. 10: Kuanzisha Mafunzo ya Biblia. Simulia mambo yaliyoonwa, au uwahoji wahubiri kuhusu mambo ambayo kutaniko lenu lilitimiza katika siku iliyotengwa kwa ajili ya kuwatolea watu funzo la Biblia. Panga onyesho kuhusu jinsi ya kuanzisha funzo la Biblia katika ziara ya kwanza mhubiri anapotoa toleo la Septemba.
Dak. 10: “Utajibuje?” Mazungumzo kwa maswali na majibu.