Ratiba ya Juma Linaloanza Septemba 21
JUMA LINALOANZA SEPTEMBA 21
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
lv sura ya 10 ¶9-15, sanduku uku. 114
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Hesabu 30-32
Na. 1: Hesabu 32:1-15
Na. 2: Inakuwaje Tunapokufa? (lr sura ya 34)
Na. 3: Je, Wakristo Wote Wana Tumaini la Kuishi Mbinguni? (rs uku. 200 ¶1-3)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Jitayarishe Kutoa Mnara wa Mlinzi na Amkeni! Pitia magazeti ya karibuni kwa ufupi. Waulize wasikilizaji ni makala gani ambazo wanafikiri zitawapendeza watu katika eneo lenu. Ni swali na andiko gani linaloweza kutumiwa ili kuvuta fikira za wenye nyumba kwenye makala hizo? Mhoji painia mwenye uzoefu wa kutayarisha mambo ya kusema kuhusu magazeti, na upange onyesho kuhusu pendekezo moja ambalo ametayarisha la kutoa ama Mnara wa Mlinzi ama Amkeni!
Dak. 10: Mtu Akisema, ‘Mimi Sipendezwi.’ Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yanayotegemea ukurasa wa 16 wa kitabu Kutoa Sababu. Panga onyesho moja au mawili yanayotegemea mapendekezo katika kitabu.
Dak. 10: “Tumia Biblia kwa Ustadi.” Mazungumzo kwa maswali na majibu.