Habari Kuu za Utumishi wa Shambani
Kenya: Katika mwezi wa Aprili kulikuwa na kilele kipya cha wahubiri 22,373, na kwa mara ya kwanza, watu zaidi ya 60,000 walihudhuria Ukumbusho nchini Kenya. Waliohudhuria Ukumbusho mwaka huu ni watu 61,689.
Tanzania: Aprili ulikuwa mwezi wenye mafanikio sana nchini Tanzania. Mafunzo ya Biblia 21,844 yaliongozwa mwezi huo. Mapainia wa pekee waliongoza wastani wa mafunzo 9.0, mapainia wa kawaida wastani wa 5.1, mapainia wasaidizi wastani wa 3.3, na wahubiri wastani wa funzo 1.0 kila mmoja.